Luke 24:20 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Makuhani na watawala wetu walimtoa ahukumiwe kufa, wakamsulubisha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Viongozi wa makuhani na viongozi wetu walimtoa ahukumiwe kufa, nao wakamsulubisha.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
tena jinsi wakuu wa makuhani na wakubwa wetu walivyomtia katika hukumu ya kufa, wakamsulibisha.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini viongozi wetu na viongozi wa makuhani walimtoa ili ahukumiwe na kuuawa. Wakampigilia msalabani.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Makuhani na watawala wetu walimtoa ahukumiwe kufa, wakamsulubisha.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Makuhani na watawala wetu walimtoa ahukumiwe kufa, wakamsulubisha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Viongozi wa makuhani na viongozi wetu walimtoa ahukumiwe kufa, nao wakamsulibisha.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Viongozi wa makuhani na viongozi wetu walimtoa ahukumiwe kufa, nao wakamsulubisha.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
tena jinsi wakuu wa makuhani na wakubwa wetu walivyomtia katika hukumu ya kufa, wakamsulubisha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Makuhani na watawala wetu walimtoa ahukumiwe kufa, wakamsulubisha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Huyo watambikaji wakuu na wakubwa wetu wamemtoa, ahukumiwe kuuawa, wakamwamba msalabani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
tena jinsi wakuu wa makuhani na wakubwa wetu walivyomtia katika hukumu ya kufa, wakamsulibisha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakubwa wa makuhani na wasimamizi wetu walimutoa kusudi ahukumiwe kufa, nao wamemutundika juu ya musalaba.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
na jinsi makuhani wakuu na wakubwa wetu walivyomtoa kwa hukumu ya kufa, wakamsulibisha;