Luke 24:22 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tena, wanawake wengine wa kwetu wametushtua. Walikwenda kaburini mapema asubuhi,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isitoshe, baadhi ya wanawake katika kundi letu wametushtusha. Walienda kaburini leo alfajiri,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
tena, wanawake kadha wa kadha wa kwetu walitushitusha, waliokwenda kaburini asubuhi na mapema,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
lakini leo baadhi ya wanawake kutoka kwenye kundi letu walituambia jambo la kushangaza. Mapema asubuhi hii walikwenda kaburini ambako mwili wa Yesu ulilazwa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Tena, wanawake wengine wa kwetu wametushtua. Walikwenda kaburini mapema asubuhi,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tena, wanawake wengine wa kwetu wametushtua. Walikwenda kaburini mapema asubuhi,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Isitoshe, baadhi ya wanawake katika kundi letu wametushtusha. Walikwenda kaburini leo alfajiri,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isitoshe, baadhi ya wanawake katika kundi letu wametushtusha. Walikwenda kaburini leo alfajiri,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
tena, wanawake kadhaa wa kwetu walitushitusha, waliokwenda kaburini asubuhi na mapema,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tena, wanawake wengine wa kwetu wametushtua. Walikwenda kaburini mapema asubuhi,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena wako wanawake wa kwetu waliotushangaza; walikwenda kaburini asubuhi na mapema,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
tena, wanawake kadha wa kadha wa kwetu walitushitusha, waliokwenda kaburini asubuhi na mapema,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Zaidi ya hiyo wanawake wamoja wa kundi letu walitushitusha. Walienda kwenye kaburi asubui mapema,
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kuna tena wanawake wengine wa kwetu waliotustusha, wakiamkia mapema kwenda kaburini: