Luke 24:30 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alipoketi kula chakula pamoja nao, akachukua mkate, akaubariki, akaumega, akawapa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Alipokuwa mezani pamoja nao, akachukua mkate, akashukuru, akaumega, akaanza kuwagawia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ikawa alipokuwa ameketi nao chakulani, alitwaa mkate, akaubariki, akaumega, akawapa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Alipokuwa mezani pamoja nao ili kula chakula cha usiku, Yesu akachukua mkate na kushukuru. Kisha akaumega na kuwapa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Alipoketi kula chakula pamoja nao, akachukua mkate, akaubariki, akaumega, akawapa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alipoketi kula chakula pamoja nao, akachukua mkate, akaubariki, akaumega, akawapa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Alipokuwa mezani pamoja nao, akachukua mkate, akashukuru, akaumega, akaanza kuwagawia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Alipokuwa mezani pamoja nao, akachukua mkate, akashukuru, akaumega, akaanza kuwagawia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ikawa alipokuwa ameketi nao chakulani, alitwaa mkate, akaubariki, akaumega, akawapa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alipoketi kula chakula pamoja nao, akachukua mkate, akaubariki, akaumega, akawapa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ikawa, alipokaa chakulani pamoja nao, akautwaa mkate, akauombea, akaumega, akawagawia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ikawa alipokuwa ameketi nao chakulani, alitwaa mkate, akaubariki, akaumega, akawapa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Alipokuwa akiikaa kula chakula pamoja nao, akatwaa mukate na kuubariki. Kisha akaumega na kuwapatia.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Ikawa, akiketi pamoja nao, akautwaa mkate, akaubariki, akaumega, akawagawia.