Luke 24:31 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mara macho yao yakafumbuliwa, wakamtambua; lakini yeye akatoweka kati yao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo macho yao yakafumbuliwa, nao wakamtambua, naye akatoweka machoni pao. Hawakumwona tena.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yakafumbuliwa macho yao, wakamtambua; kisha akatoweka mbele yao.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Baada ya kufanya hivyo, wafuasi wale wawili wakaruhusiwa kumtambua. Lakini walipojua yeye ni nani, alitoweka.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mara macho yao yakafumbuliwa, wakamtambua; lakini yeye akatoweka kati yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mara macho yao yakafumbuliwa, wakamtambua; lakini yeye akatoweka kati yao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo macho yao yakafumbuliwa, nao wakamtambua, naye akatoweka machoni pao. Hawakumwona tena.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo macho yao yakafumbuliwa, nao wakamtambua, naye akatoweka machoni pao. Hawakumwona tena.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yakafumbuliwa macho yao, wakamtambua; kisha akatoweka mbele yao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mara macho yao yakafumbuliwa, wakamtambua; lakini yeye akatoweka kati yao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, macho yao yalipofumbuliwa, wakamtambua. Naye papo hapo alikuwa ametoweka machoni pao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yakafumbuliwa macho yao, wakamtambua; kisha akatoweka mbele yao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu, macho yao yakafumbuliwa, wakamutambua. Lakini yeye akatoweka, nao hawakumwona tena.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yakafumbuliwa macho yao, wakamtambua, akatoweka asionekane nao.