Luke 24:35 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, hao wafuasi wawili wakawajulisha yale yaliyowapata njiani, na jinsi walivyomtambua katika kumega mkate.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha wale wanafunzi wawili wakaeleza yaliyotukia njiani na jinsi walivyomtambua Isa alipoumega mkate.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nao waliwapa habari ya mambo yale ya njiani, na jinsi alivyotambulikana nao katika kuumega mkate.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ndipo wafuasi wawili wakaeleza kilichotokea barabarani. Wakaeleza jinsi walivyomtambua Yesu aliposhiriki mkate pamoja nao.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, hao wafuasi wawili wakawajulisha yale yaliyowapata njiani, na jinsi walivyomtambua katika kumega mkate.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, hao wafuasi wawili wakawajulisha yale yaliyowapata njiani, na jinsi walivyomtambua katika kumega mkate.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha wale wanafunzi wawili wakaeleza yaliyotukia njiani na jinsi walivyomtambua Yesu alipoumega mkate.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha wale wanafunzi wawili wakaeleza yaliyotukia njiani na jinsi walivyomtambua Isa alipoumega mkate.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nao waliwapa habari ya mambo yale ya njiani, na jinsi alivyotambulikana nao katika kuumega mkate.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, hao wafuasi wawili wakawajulisha yale yaliyowapata njiani, na jinsi walivyomtambua katika kumega mkate.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wakawasimulia, waliyoyaona njiani, na jinsi walivyomtambua, alipoumega mkate.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nao waliwapa habari ya mambo yale ya njiani, na jinsi alivyotambulikana nao katika kuumega mkate.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nao vilevile wakawaelezea mambo yote yaliyotokea katika njia na namna walivyomutambua Yesu wakati alipomega mukate.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Nao wakawahadithia yale ya njiani, na jinsi alivyotambulikana nao kwa kumega mkate.