Luke 24:38 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini yeye akawaambia, “Kwa nini mnafadhaika? Mbona mnakuwa na mashaka mioyoni mwenu?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini Isa akawauliza, “Kwa nini mnaogopa? Kwa nini mna shaka mioyoni mwenu?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawaambia, Mbona mnafadhaika? Na kwa nini mnaona shaka mioyoni mwenu?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini Yesu akasema, “Kwa nini mnaogopa? Na kwa nini mnakitilia mashaka kile mnachokiona?
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini yeye akawaambia, “Kwa nini mnafadhaika? Mbona mnakuwa na mashaka mioyoni mwenu?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini yeye akawaambia, “Kwa nini mnafadhaika? Mbona mnakuwa na mashaka mioyoni mwenu?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini Yesu akawauliza, “Kwa nini mnaogopa? Kwa nini mna shaka mioyoni mwenu?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini Isa akawauliza, “Kwa nini mnaogopa? Kwa nini mna shaka mioyoni mwenu?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawaambia, Mbona mnafadhaika? Na kwa nini mnaona shaka mioyoni mwenu?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini yeye akawaambia, “Kwa nini mnafadhaika? Mbona mnakuwa na mashaka mioyoni mwenu?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akawaambia: Mbona mnahangaika hivyo? Tena kwa nini mawazo kama hayo yanawaingia mioyoni mwenu?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawaambia, Mbona mnafadhaika? Na kwa nini mnaona shaka mioyoni mwenu?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini Yesu akawaambia: “Kwa sababu gani munafazaika na kuwa na mashaka?
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akawaambia, Mbona mmefadhaika? na kwa nini mashaka yanatokea mioyoni mwenu.