Luke 24:45 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha, akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa Maandiko Matakatifu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo akafungua fahamu zao ili waweze kuyaelewa Maandiko Matakatifu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndipo akawafunulia akili zao wapate kuelewa na maandiko.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kisha Yesu akawafafanulia Maandiko ili waelewe maana yake halisi.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kisha, akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa Maandiko Matakatifu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha, akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa Maandiko Matakatifu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo akafungua fahamu zao ili waweze kuyaelewa Maandiko.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo akafungua fahamu zao ili waweze kuyaelewa Maandiko.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndipo akawafunua akili zao wapate kuelewa maandiko.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha, akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa Maandiko Matakatifu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, alipowafumbua akili, waelewe na Maandiko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndipo akawafunulia akili zao wapate kuelewa na maandiko.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu akawafungua akili kusudi wapate kufahamu Maandiko Matakatifu
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Ndipo akaamsha akili zao, wapate kuyatambua maandiko matakatifu.