Luke 24:50 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada ya kuwaongoza hadi Bethania, akainua mikono yake juu na kuwabariki.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawaongoza mpaka Bethania, akainua mikono yake akawabariki.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akawaongoza wafuasi wake kutoka nje ya Yerusalemu hadi karibu na Bethania. Akanyenyua mikono yake na kuwabariki wafuasi wake.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akiisha kuwaongoza mpaka kwenye viunga vya Bethania, akainua mikono yake juu na kuwabariki.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akiisha kuwaongoza mpaka kwenye viunga vya Bethania, akainua mikono yake juu na kuwabariki.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawaongoza mpaka Bethania, akainua mikono yake akawabariki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha akawaongoza nje ya mji hadi Bethania, akainua mikono yake juu, akawabariki.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
*Kisha akatoka nao, akawapeleka mpaka Betania; hapo akaiinua mikono yake, akawabariki.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawaongoza mpaka Bethania, akainua mikono yake akawabariki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha Yesu akatoka nao katika muji na kwenda karibu na kijiji cha Betania na pale akainua mikono yake juu na kuwabariki.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akawaongoza nje mpaka Bethania: akainua mikono yake, akawabariki.