Luke 24:51 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alipokuwa anawabariki, akawaacha; akachukuliwa mbinguni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Alipokuwa anawabariki, akawaacha, akachukuliwa mbinguni.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ikawa katika kuwabariki, alijitenga nao; akachukuliwa juu mbinguni.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Alipokuwa anawabariki, alitenganishwa nao na kuchukuliwa mbinguni.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Alipokuwa anawabariki, akawaacha; akachukuliwa mbinguni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alipokuwa anawabariki, akawaacha; akachukuliwa mbinguni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Alipokuwa anawabariki, akawaacha, akachukuliwa mbinguni.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Alipokuwa anawabariki, akawaacha, akachukuliwa mbinguni.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ikawa katika kuwabariki, alijitenga nao; akachukuliwa juu mbinguni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alipokuwa anawabariki, akawaacha; akachukuliwa mbinguni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ikawa katika kuwabariki, akajitenga kwao akachukuliwa kwenda mbinguni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ikawa katika kuwabariki, alijitenga nao; akachukuliwa juu mbinguni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Alipokuwa akiwabariki akajitenga nao na kunyanyuliwa mbinguni.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Ikawa katika kuwabariki, akajitenga nao, akachukuliwa juu mbinguni.