Luke 24:7 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
‘Ni lazima Mwana wa Mtu atolewe kwa watu waovu, nao watamsulubisha na siku ya tatu atafufuka.’”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
‘Ilikuwa lazima Mwana wa Adamu atiwe mikononi mwa watu wenye dhambi na waovu ili asulubiwe, na siku ya tatu afufuke.’ ”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
akisema, Imempasa Mwana wa Adamu kutiwa mikononi mwa wenye dhambi, na kusulibiwa, na kufufuka siku ya tatu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Alisema kwamba, ‘Mwana wa Adamu lazima atatolewa kwa mamlaka ya watu wenye dhambi, lazima atauawa msalabani na kufufuka kutoka kwa wafu siku ya tatu.’”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ni lazima Mwana wa Mtu atolewe kwa watu waovu, nao watamsulubisha, na siku ya tatu atafufuka.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
‘Ni lazima Mwana wa Mtu atolewe kwa watu waovu, nao watamsulubisha na siku ya tatu atafufuka.’”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
‘Ilikuwa lazima Mwana wa Adamu atiwe mikononi mwa watu wenye dhambi, waovu, asulibiwe na siku ya tatu afufuke.’ ”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
‘Ilikuwa lazima Mwana wa Adamu atiwe mikononi mwa watu wenye dhambi na waovu ili asulubiwe, na siku ya tatu afufuke.’ ”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
akisema, Imempasa Mwana wa Adamu kutiwa mikononi mwa wenye dhambi, na kusulubiwa, na kufufuka siku ya tatu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
‘Ni lazima Mwana wa Mtu atolewe kwa watu waovu, nao watamsulubisha na siku ya tatu atafufuka.’”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
akisema: Mwana wa mtu sharti atiwe mikononi mwa watu wakosaji, awambwe msalabani, kisha afufuke siku ya tatu!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
akisema, Imempasa Mwana wa Adamu kutiwa mikononi mwa wenye dhambi, na kusulibiwa, na kufufuka siku ya tatu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Aliwaambia kwamba Mwana wa Mutu anapaswa kutolewa katika mikono ya wenye zambi, na kutundikwa juu ya musalaba, lakini kwa siku ya tatu kisha kufa, atafufuka.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
ya kwamba imempasa Mwana wa Adamu kutiwa katika mikono ya watu wenye dhambi, na kusulibiwa, na kufufuka siku ya tafu.