Luke 4:32 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakastaajabia uwezo aliokuwa nao katika kufundisha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakashangazwa sana na mafundisho yake, maana maneno yake yalikuwa na mamlaka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
wakashangaa mno kwa mafundisho yake, kwa kuwa neno lake lilikuwa na uwezo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Nao walishangaa sana namna alivyokuwa akifundisha kwa sababu mafundisho yake yalikuwa na mamlaka.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wakastaajabia uwezo aliokuwa nao katika kufundisha.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakastaajabia uwezo aliokuwa nao katika kufundisha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakashangazwa sana na mafundisho yake, maana maneno yake yalikuwa na mamlaka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakashangazwa sana na mafundisho yake, maana maneno yake yalikuwa na mamlaka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
wakashangaa mno kwa mafundisho yake, kwa kuwa neno lake lilikuwa na uwezo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakastaajabia uwezo aliokuwa nao katika kufundisha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wakashangazwa na mafundisho yake, kwani maneno yake yalikuwa yenye nguvu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
wakashangaa mno kwa mafundisho yake, kwa kuwa neno lake lilikuwa na uwezo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nao wakashangaa sana kuona namna alivyowafundisha, kwa maana aliwafundisha kama mutu mwenye mamlaka.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
wakashangaa mno kwa mafundisho yake, kwa sababu neno lake lilikuwa na uweza.