Luke 4:43 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini yeye akawaambia, “Ninapaswa kuhubiri Habari Njema za ufalme wa Mungu katika miji mingine pia, maana nilitumwa kwa ajili hiyo.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini yeye akawaambia, “Imenipasa kuhubiri Habari Njema ya ufalme wa Mungu katika miji mingine pia, kwa maana kwa kusudi hili nilitumwa.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawaambia, Imenipasa kuihubiri habari njema ya ufalme wa Mungu katika miji mingine pia; maana kwa sababu hiyo nalitumwa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini akawaambia, “Ni lazima nihubiri Habari Njema kuhusu Ufalme wa Mungu katika miji mingine pia, kwa sababu nilitumwa kufanya hivyo.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini yeye akawaambia, “Ninapaswa kuhubiri Habari Njema za Ufalme wa Mungu katika miji mingine pia, maana nilitumwa kwa ajili hiyo.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini yeye akawaambia, “Ninapaswa kuhubiri Habari Njema za ufalme wa Mungu katika miji mingine pia, maana nilitumwa kwa ajili hiyo.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini yeye akawaambia, “Imenipasa kuhubiri habari njema za Ufalme wa Mungu katika miji mingine pia, kwa maana kwa kusudi hili nilitumwa.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini yeye akawaambia, “Imenipasa kuhubiri habari njema za Ufalme wa Mwenyezi Mungu katika miji mingine pia, kwa maana kwa kusudi hili nilitumwa.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawaambia, Imenipasa kuihubiri Habari Njema ya ufalme wa Mungu katika miji mingine pia; maana nilitumwa kwa sababu hiyo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini yeye akawaambia, “Ninapaswa kuhubiri Habari Njema za ufalme wa Mungu katika miji mingine pia, maana nilitumwa kwa ajili hiyo.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini akawaambia: Inanipasa kuipigia hata miji mingine mbiu njema ya ufalme wa Mungu, kwani hiyo ndiyo, niliyotumiwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawaambia, Imenipasa kuihubiri habari njema ya ufalme wa Mungu katika miji mingine pia; maana kwa sababu hiyo nalitumwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini Yesu akawaambia: “Imenipasa kuhubiri Habari Njema ya Ufalme wa Mungu katika miji mingine vilevile, kwa maana ni kwa sababu ile nimetumwa.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akawaambia, Imenipasa kukhubiri khabari njema ya ufalme wa Mungu katika miji mingine pia: maana kwa hiyo nalitumwa.