Luke 5:20 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu alipoona jinsi walivyokuwa na imani kubwa, akamwambia huyo mtu, “Rafiki, umesamehewa dhambi zako.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa alipoiona imani yao, akamwambia yule mgonjwa, “Rafiki, dhambi zako zimesamehewa.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye alipoiona imani yao, alimwambia, Ee rafiki, umesamehewa dhambi zako.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu alipoona imani waliyokuwa nayo, akamwambia yule mgonjwa: “Rafiki yangu, dhambi zako zimesamehewa!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu alipoona jinsi walivyokuwa na imani kubwa, akamwambia huyo mtu, “Rafiki, umesamehewa dhambi zako.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu alipoona jinsi walivyokuwa na imani kubwa, akamwambia huyo mtu, “Rafiki, umesamehewa dhambi zako.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu alipoiona imani yao, akamwambia yule mgonjwa, “Rafiki, dhambi zako zimesamehewa.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa alipoiona imani yao, akamwambia yule mgonjwa, “Rafiki, dhambi zako zimesamehewa.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye alipoiona imani yao, alimwambia, Ee rafiki, umesamehewa dhambi zako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu alipoona jinsi walivyokuwa na imani kubwa, akamwambia huyo mtu, “Rafiki, umesamehewa dhambi zako.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Alipoona, walivyomtegemea, akasema: Mwenzangu, umeondolewa makosa yako.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye alipoiona imani yao, alimwambia, Ee rafiki, umesamehewa dhambi zako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu alipoona namna walivyomwaminia, akasema: “Rafiki yangu, zambi zako zimesamehewa.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Alipoona imani yao, akamwambia, Ee mtu, dhambi zako zimeondolewa.