Luke 5:22 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu alitambua mawazo yao, akawauliza, “Mnawaza nini mioyoni mwenu?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akijua mawazo yao akawauliza, “Kwa nini mnawaza hivyo mioyoni mwenu?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na Yesu alijua hoja zao, akajibu akawaambia, Mnahojiana nini mioyoni mwenu?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini Yesu alijua walichokuwa wanawaza, akawaambia: “Kwa nini mna maswali haya mioyoni mwenu?
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu alitambua mawazo yao, akawauliza, “Mnawaza nini mioyoni mwenu?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu alitambua mawazo yao, akawauliza, “Mnawaza nini mioyoni mwenu?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akijua mawazo yao akawauliza, “Kwa nini mnawaza haya mioyoni mwenu?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akijua mawazo yao akawauliza, “Kwa nini mnawaza hivyo mioyoni mwenu?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na Yesu alijua hoja zao, akajibu akawaambia, Mnajiuliza nini mioyoni mwenu?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu alitambua mawazo yao, akawauliza, “Mnawaza nini mioyoni mwenu?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa kuyatambua hayo mawazo yao Yesu akajibu akiwaambia: Mnawaza nini mioyoni mwenu?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na Yesu alijua hoja zao, akajibu akawaambia, Mnahojiana nini mioyoni mwenu?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu Yesu akitambua mafikiri yao, akawauliza: “Sababu gani munajiuliza mambo hayo yote?
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akafahamu fikara zao akajibu, akawaambia, Mnafikiri nini mioyoni mwenu?