Luke 5:23 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ni lipi lililo rahisi zaidi: Kusema, ‘Umesamehewa dhambi,’ au kusema, ‘Simama utembee?’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Je, ni lipi lililo rahisi zaidi, kumwambia, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Inuka, uende’?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lililo jepesi ni lipi? Kusema, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Ondoka, uende?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wakati akiwa duniani Mwana wa Adamu anayo mamlaka ya kusamehe dhambi. Lakini nitawezaje kulithibitisha hili kwenu? Pengine mnafikiri ilikuwa rahisi kwangu kumwambia mtu huyu aliyepooza, ‘Dhambi zako zimesamehewa.’ Kwa sababu hilo haliwezi kuthibitishwa kwamba hakika limetokea. Lakini vipi nikimwambia, mtu huyu, beba machela yako na utembee? Hapo ndipo mtakapoweza kuona kama kweli ninayo mamlaka hayo ama sina.” Kwa hiyo Yesu akamwambia mtu yule aliyepooza, “Nitalithibitishaje hili kwako? Ninakwambia hivi, Inuka! Beba machela yako uende nyumbani!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ni lipi lililo rahisi zaidi: kusema, Umesamehewa dhambi, au kusema, Simama utembee?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ni lipi lililo rahisi zaidi: kusema, ‘Umesamehewa dhambi,’ au kusema, ‘Simama utembee?’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Je, ni lipi lililo rahisi zaidi, kumwambia huyu, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Simama, uende?’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Je, ni lipi lililo rahisi zaidi, kumwambia, ‘Umesamehewa dhambi zako,’ au kusema, ‘Inuka, uende’?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lililo jepesi ni lipi? Kusema, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Ondoka, uende?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ni lipi lililo rahisi zaidi: Kusema, ‘Umesamehewa dhambi,’ au kusema, ‘Simama utembee?’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kilicho chepesi ni kipi? kusema: Umeondolewa makosa yako! au kusema: Inuka, uende?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lililo jepesi ni lipi? Kusema, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Ondoka, uende?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kitu gani kinachokuwa chepesi, kusema: ‘Zambi zako zimesamehewa,’ au kusema: ‘Simama, utembee?’
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Vipi vyepesi, kusema, Dhambi zako zimeondolewa, au kusema, Ondoka, ukaende.