Luke 5:26 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wote wakashangaa na kushikwa na hofu; wakamtukuza Mungu wakisema: “Tumeona maajabu leo.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kila mmoja akashangaa na kumtukuza Mungu. Wakajawa na hofu ya Mungu, wakasema, “Leo tumeona mambo ya ajabu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ushangao ukawashika wote, wakamtukuza Mungu; wakajaa hofu, wakisema, Leo tumeona mambo ya ajabu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kila mtu alishangaa na kuanza kumsifu Mungu. Wakajawa na hofu kuu baada ya kuiona nguvu ya Mungu. Wakasema, “Leo tumeona mambo ya kushangaza!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wote wakashangaa na kushikwa na hofu; wakamtukuza Mungu wakisema: “Tumeona maajabu leo.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wote wakashangaa na kushikwa na hofu; wakamtukuza Mungu wakisema: “Tumeona maajabu leo.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kila mmoja akashangaa na kumtukuza Mungu. Wakajawa na hofu ya Mungu, wakasema, “Leo tumeona mambo ya ajabu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kila mmoja akashangaa na kumtukuza Mungu. Wakajawa na hofu ya Mungu, wakasema, “Leo tumeona mambo ya ajabu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mshangao ukawashika wote, wakamtukuza Mungu; wakajaa hofu, wakisema, Leo tumeona mambo ya ajabu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wote wakashangaa na kushikwa na hofu; wakamtukuza Mungu wakisema: “Tumeona maajabu leo.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, wote walipostuka sana, wakamtukuza Mungu, wakashikwa na woga mwingi wakisema: Utukufu, tuliouona leo, sio wa kuujua.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ushangao ukawashika wote, wakamtukuza Mungu; wakajaa hofu, wakisema, Leo tumeona mambo ya ajabu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wote wakashangaa na kushikwa na woga, wakamutukuza Mungu wakisema: “Leo tumeona mambo ya ajabu.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Ushangao ukawashika wote wakamtukuza Mungu: wakajaa khofu, wakinena, Tumeona maajabu leo.