Luke 5:31 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akawajibu, “Wenye afya hawamhitaji daktari; wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akawajibu, “Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio wagonjwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu akajibu akawaambia, Wenye afya hawana haja na tabibu, isipokuwa walio hawawezi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akawajibu, “Wagonjwa ndiyo wanaohitaji daktari, si wenye afya njema.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akawajibu, “Wenye afya hawahitaji daktari, lakini wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akawajibu, “Wenye afya hawamhitaji daktari; wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akawajibu, “Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio wagonjwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akawajibu, “Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio wagonjwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu akajibu akawaambia, Wenye afya hawana haja na tabibu, isipokuwa walio wagonjwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akawajibu, “Wenye afya hawamhitaji daktari; wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu akajibu akiwaambia: Walio wazima hawapaswi na mganga, ila walio wagonjwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu akajibu akawaambia, Wenye afya hawana haja na tabibu, isipokuwa walio hawawezi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akawajibu: “Wenye afya nzuri hawahitaji muganga, lakini wale wanaokuwa wagonjwa.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akajibu, akawaambia, Wenye afya hawahitaji tabibu, bali walio hawawezi: