Luke 5:32 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi, wapate kutubu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi wapate kutubu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi, wapate kutubu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Sikuja kuwaambia wenye haki wabadilike, bali wenye dhambi.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi, ili wapate kutubu.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi, wapate kutubu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sikuja kuwaita wenye haki bali wenye dhambi wapate kutubu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi wapate kutubu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi, wapate kutubu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi, wapate kutubu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sikujia kuwaita waongofu, ila wakosaji, wajute.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi, wapate kutubu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Sikukuja kuwaita wenye haki, lakini wenye zambi kusudi wageuke toka zambi zao.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi wapate kutubu.