Luke 6:15 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mathayo na Thoma, Yakobo wa Alfayo na Simoni (aliyeitwa Zelote),
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mathayo, Tomaso, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni aliyeitwa Zelote,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na Mathayo na Tomaso, na Yakobo wa Alfayo, na Simoni aitwaye Zelote,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mathayo na Tomaso, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni aliyeitwa Mzelote,
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mathayo na Thoma, Yakobo wa Alfayo na Simoni (aliyeitwa Zelote),
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mathayo na Thoma, Yakobo wa Alfayo na Simoni (aliyeitwa Zelote),
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mathayo, Tomasi. Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni aliyeitwa Zelote,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mathayo, Tomaso, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni aliyeitwa Zelote,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na Mathayo na Tomaso, na Yakobo wa Alfayo, na Simoni aitwaye Zelote,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mathayo na Thoma, Yakobo wa Alfayo na Simoni (aliyeitwa Zelote),
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
na Mateo na Toma na Yakobo wa Alfeo na Simoni aliyeitwa Zelote
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na Mathayo na Tomaso, na Yakobo wa Alfayo, na Simoni aitwaye Zelote,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Matayo na Toma, Yakobo mwana wa Alfayo na Simoni (wa kikundi cha Wazeloti),
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Mattayo na Tomaso, Yakobo wa Alfayo, na Simon aliyeitwa Zelote,