Luke 6:2 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Baadhi ya Mafarisayo wakawauliza, “Mbona mnafanya jambo ambalo si halali siku ya Sabato?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baadhi ya Mafarisayo wakawauliza, “Mbona mnafanya mambo yasiyo halali kufanywa siku ya Sabato?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi baadhi ya Mafarisayo wakawaambia, Mbona mnafanya lisilo halali siku ya sabato?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Baadhi ya Mafarisayo wakawaambia, “Kwa nini mnafanya hivyo? Ni kinyume na Sheria ya Musa kufanya hivyo siku ya Sabato.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Baadhi ya Mafarisayo wakawauliza, “Mbona mnafanya jambo ambalo si halali siku ya Sabato?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Baadhi ya Mafarisayo wakawauliza, “Mbona mnafanya jambo ambalo si halali siku ya Sabato?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baadhi ya Mafarisayo wakawauliza, “Mbona mnafanya mambo ambayo ni kinyume na sheria siku ya Sabato?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baadhi ya Mafarisayo wakawauliza, “Mbona mnafanya mambo yasiyo halali kufanywa siku ya Sabato?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi baadhi ya Mafarisayo wakawaambia, Mbona mnafanya lisilo halali siku ya sabato?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Baadhi ya Mafarisayo wakawauliza, “Mbona mnafanya jambo ambalo si halali siku ya Sabato?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini walikuwako Mafariseo waliosema: Mbona mnafanya yaliyo mwiko siku ya mapumziko?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi baadhi ya Mafarisayo wakawaambia, Mbona mnafanya lisilo halali siku ya sabato?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wamoja kati ya Wafarisayo wakawauliza: “Sababu gani munafanya mambo yanayokatazwa kufanya kwa siku ya Sabato?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi baadhi ya Mafarisayo wakawaambia, Mbona mnatenda lisilo halali siku ya Sabato?