Luke 6:36 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Muwe na huruma kama Baba yenu alivyo na huruma.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kuweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi, iweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Iweni na upendo na huruma, kama Baba yenu alivyo.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Muwe na huruma kama Baba yenu alivyo na huruma.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Muwe na huruma kama Baba yenu alivyo na huruma.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Iweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kuweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi, iweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Muwe na huruma kama Baba yenu alivyo na huruma.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
*Mgeuke kuwa wenye huruma, kama Baba yenu alivyo mwenye huruma!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi, iweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mukuwe wenye huruma, kama vile Baba yenu anavyokuwa mwenye huruma.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi mwe na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma. Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa: