Luke 6:46 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Mbona mwaniita ‘Bwana, Bwana,’ na huku hamtimizi yale ninayosema?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Kwa nini mnaniita, ‘Bwana, Bwana,’ nanyi hamfanyi ninayowaambia?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na kwa nini mnaniita, Bwana, Bwana, walakini hamyatendi nisemayo?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kwa nini mnaniita, ‘Bwana, Bwana’ lakini hamtendi kama ninavyosema?
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Mbona mwaniita Bwana, Bwana, na huku hamtimizi yale ninayosema?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Mbona mwaniita ‘Bwana, Bwana,’ na huku hamtimizi yale ninayosema?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Kwa nini mnaniita, ‘Bwana, Bwana,’ nanyi hamfanyi ninayowaambia?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Kwa nini mnaniita, ‘Bwana, Bwana,’ nanyi hamfanyi ninayowaambia?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na kwa nini mnaniita, Bwana, Bwana, lakini hamyatendi nisemayo?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Mbona mwaniita ‘Bwana, Bwana,’ na huku hamtimizi yale ninayosema?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena mnaniitiani: Bwana! Bwana! msipoyafanya, ninayoyasema?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na kwa nini mnaniita, Bwana, Bwana, walakini hamyatendi nisemayo?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Sababu gani munaniita ‘Bwana, Bwana,’ nanyi hamufanyi yale ninayowaamuru?
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Ya nini kuniita Bwana, Bwana, nanyi hamyatendi niyanenayo?