Luke 6:5 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hivyo akawaambia, “Mwana wa Mtu ana uwezo juu ya Sabato.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha Isa akawaambia, “Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawaambia, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kisha Yesu akawaambia Mafarisayo, “Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Hivyo akawaambia, “Mwana wa Mtu ni Bwana wa Sabato.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hivyo akawaambia, “Mwana wa Mtu ana uwezo juu ya Sabato.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akawaambia, “Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akawaambia, “Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawaambia, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hivyo akawaambia, “Mwana wa Mtu ana uwezo juu ya Sabato.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akawaambia: Mwana wa mtu ni bwana wa siku ya mapumziko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawaambia, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu Yesu akawaambia: “Mwana wa Mutu ndiye Bwana wa siku ya Sabato.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akawaambia ya kwamba, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato pia.