Luke 7:10 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wale watu walipowasili nyumbani walimkuta yule mtumishi hajambo kabisa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nao wale watu waliokuwa wametumwa kwa Isa waliporudi nyumbani walimkuta yule mtumishi amepona.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na wale waliotumwa waliporudi nyumbani, wakamkuta yule mtumwa ni mzima.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kundi lililotumwa kwa Yesu waliporudi nyumbani, walimkuta yule mtumishi amepona.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wale watu walipowasili nyumbani walimkuta yule mtumishi hajambo kabisa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wale watu walipowasili nyumbani walimkuta yule mtumishi hajambo kabisa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nao wale watu waliokuwa wametumwa kwa Yesu waliporudi nyumbani walimkuta yule mtumishi amepona.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nao wale watu waliokuwa wametumwa kwa Isa waliporudi nyumbani walimkuta yule mtumishi amepona.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na wale waliotumwa waliporudi nyumbani, wakamkuta yule mtumwa ni mzima.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wale watu walipowasili nyumbani walimkuta yule mtumishi hajambo kabisa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wale waliotumwa waliporudi nyumbani, wakamkuta yule mtumwa, yuko amepona.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na wale waliotumwa waliporudi nyumbani, wakamkuta yule mtumwa ni mzima.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu wale wasimamizi waliotumwa wakarudia kwenye nyumba, nao wakamukuta yule mutumishi amekwisha kupona.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi wale waliotumwa waliporudi nyumbani kwake, wakamkuta yule mtumishi, aliyekuwa hawezi, yu mzima.