Luke 7:13 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Bwana alipomwona mama huyo akamwonea huruma, akamwambia, “Usilie.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Bwana Isa alipomwona yule mjane, moyo wake ulimhurumia, akamwambia, “Usilie.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Bwana alipomwona alimwonea huruma, akamwambia, Usilie.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Bwana alipomwona yule mama, alimwonea huruma na kumwambia, “Usilie.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Bwana alipomwona mama huyo, alimwonea huruma, akamwambia, “Usilie.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Bwana alipomwona mama huyo akamwonea huruma, akamwambia, “Usilie.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Bwana Yesu alipomwona yule mjane, moyo wake ulimhurumia, akamwambia, “Usilie.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Bwana Isa alipomwona yule mjane, moyo wake ulimhurumia, akamwambia, “Usilie.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Bwana alipomwona alimwonea huruma, akamwambia, Usilie.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Bwana alipomwona mama huyo akamwonea huruma, akamwambia, “Usilie.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Bwana alipomwona akamwonea uchungu, akamwambia: Usilie!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Bwana alipomwona alimwonea huruma, akamwambia, Usilie.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Bwana alipomwona yule mama, akamusikilia huruma na kumwambia: “Usilie.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na Bwana alipomwona, akamhurumia, akamwambia, Usilie.