Luke 7:23 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Amebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye heri mtu ye yote asiyechukizwa nami.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Heri wale wasio na mashaka kunikubali mimi.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami!”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Amebarikiwa mtu yule asiyechukizwa nami.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Amebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye heri mtu yeyote asiyechukizwa nami.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena mwenye shangwe ndiye asiyejikwaa kwangu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye heri mtu ye yote asiyechukizwa nami.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Heri mutu yule ambaye sitakuwa kikwazo kwake.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
na yu kheri ye yote asiyechukizwa nami.