Luke 7:48 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Yesu akamwambia yule mwanamke, “Umesamehewa dhambi zako.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha akamwambia yule mwanamke, “Dhambi zako zimesamehewa.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kisha alimwambia mwanamke, Umesamehewa dhambi zako.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kisha akamwambia mwanamke, “Dhambi zako zimesamehewa.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, Yesu akamwambia yule mwanamke, “Umesamehewa dhambi zako.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Yesu akamwambia yule mwanamke, “Umesamehewa dhambi zako.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha akamwambia yule mwanamke, “Dhambi zako simesamehewa.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha akamwambia yule mwanamke, “Dhambi zako zimesamehewa.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kisha alimwambia mwanamke, Umesamehewa dhambi zako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Yesu akamwambia yule mwanamke, “Umesamehewa dhambi zako.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha akamwambia yule mwanamke: Wewe umeondolewa makosa yako.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kisha alimwambia mwanamke, Umesamehewa dhambi zako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha Yesu akamwambia yule mwanamuke: “Zambi zako zimesamehewa.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akamwambia, Umesamehewa dhambi zako.