Luke 8:11 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Basi, maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni neno la Mungu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni neno la Mungu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na huo mfano, maana yake ni hii; Mbegu ni neno la Mungu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hii ndiyo maana ya fumbo hili: Mbegu ni Neno la Mungu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Basi, maana ya mfano huu ni hii: mbegu ni neno la Mungu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Basi, maana ya mfano huu ni hii: mbegu ni neno la Mungu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni neno la Mungu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni neno la Mungu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na huo mfano, maana yake ni hii; Mbegu ni neno la Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Basi, maana ya mfano huu ni hii: Mbegu ni neno la Mungu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao mfano maana yake ni hii: mbegu ndio Neno la Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na huo mfano, maana yake ni hii; Mbegu ni neno la Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Basi hii ndiyo maana ya ule mufano wa mupandaji: mbegu ni mufano wa neno la Mungu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na mfano ndio huu: Mbegu ni neno la Mungu.