Luke 8:20 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akapewa habari kwamba mama na ndugu zake walikuwa nje, wanataka kumwona.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu mmoja akamwambia, “Mama yako na ndugu zako wako nje wanataka kukuona.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akaletewa habari akiambiwa, Mama yako na ndugu zako wamesimama nje wakitaka kuonana nawe.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mtu mmoja akamwambia Yesu, “Mama yako na wadogo zako wamesimama nje. Wanataka kukuona.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akapewa habari kwamba mama na ndugu zake walikuwa nje, wanataka kumwona.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akapewa habari kwamba mama na ndugu zake walikuwa nje, wanataka kumwona.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu mmoja akamwambia, “Mama yako na ndugu zako wako nje wanataka kukuona.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu mmoja akamwambia, “Mama yako na ndugu zako wako nje wanataka kukuona.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akaletewa habari akiambiwa, Mama yako na ndugu zako wamesimama nje wakitaka kuonana nawe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akapewa habari kwamba mama na ndugu zake walikuwa nje, wanataka kumwona.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Alipopashwa habari kwamba: Mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kuonana na wewe,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akaletewa habari akiambiwa, Mama yako na ndugu zako wamesimama nje wakitaka kuonana nawe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu watu wakamwambia Yesu: “Mama yako na wandugu zako wanasimama inje, wanataka kukuona.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akapewa khabari na watu, waliosema, Mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kukuona.