Luke 8:38 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yule mtu aliyetokwa na wale pepo akamsihi aende pamoja naye. Lakini Yesu hakumruhusu, bali akamwambia,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yule mtu aliyetokwa na pepo wachafu akamsihi Isa afuatane naye, lakini Isa akamuaga, akamwambia:
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na mtu yule aliyetokwa na pepo alimwomba ruhusa afuatane naye; lakini yeye alimwaga akisema,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mtu aliyeponywa alimsihi amfuate Yesu. Lakini Yesu akamtuma, akamwambia,
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yule mtu aliyetokwa na wale pepo akamsihi aende pamoja naye. Lakini Yesu hakumruhusu, bali akamwambia,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yule mtu aliyetokwa na wale pepo akamsihi aende pamoja naye. Lakini Yesu hakumruhusu, bali akamwambia,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yule mtu aliyetokwa na pepo wachafu akamsihi Yesu afuatane naye, lakini Yesu akamuaga, akamwambia:
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yule mtu aliyetokwa na pepo wachafu akamsihi Isa afuatane naye, lakini Isa akamuaga, akamwambia:
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na mtu yule aliyetokwa na pepo alimwomba ruhusa afuatane naye; lakini yeye alimwaga akisema,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yule mtu aliyetokwa na wale pepo akamsihi aende pamoja naye. Lakini Yesu hakumruhusu, bali akamwambia,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
yule mtu aliyetokwa na pepo akamwomba, afuatane naye. Lakini yeye akamwaga akisema:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na mtu yule aliyetokwa na pepo alimwomba ruhusa afuatane naye; lakini yeye alimwaga akisema,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu yule aliyeponyeshwa pepo akamusihi Yesu aende pamoja naye, lakini akamukatalia, akimwambia:
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na yule mtu aliyetokwa na pepo akamsihi awe pamoja nae: lakini Yesu akamwaga, akisema,