Luke 8:46 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini Isa akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, kwa maana nimetambua kuwa nguvu zimenitoka.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu akasema, Mtu alinigusa, maana naona ya kuwa nguvu zimenitoka.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu amenigusa. Nimesikia nguvu ikinitoka.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, kwa maana nimetambua kuwa nguvu zimenitoka.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini Isa akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, kwa maana nimetambua kuwa nguvu zimenitoka.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu akasema, Mtu alinigusa, maana naona ya kuwa nguvu zimenitoka.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu akasema: Yuko aliyenigusa, kwani nimetambua, jinsi nguvu ilivyonitoka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu akasema, Mtu alinigusa, maana naona ya kuwa nguvu zimenitoka.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini Yesu akasema: “Kuna mutu aliyenigusa kwa maana nimejisikia kwamba nguvu zimenitoka.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akasema, Mtu alinigusa, kwa kuwa naliona nguvu zimenitoka.