Luke 8:48 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda na amani.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi Isa akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akamwambia Binti, imani yako imekuponya; enenda zako na amani.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu alimwambia, “Binti yangu umeponywa kwa sababu uliamini. Nenda kwa amani.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda na amani.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi Yesu akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi Isa akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akamwambia, Binti, imani yako imekuponya; nenda zako na amani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akamwambia, “Binti, imani yako imekuponya. Nenda na amani.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye akamwambia: Mwanangu, kunitegemea kwako kumekuponya, nenda na kutengemana!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akamwambia Binti, imani yako imekuponya; enenda zako na amani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na Yesu akamwambia: “Binti yangu, imani yako imekuponyesha. Ujiendee na amani.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akamwambia. Jipe moyo mkuu, binti, imani yako imekuponya; enenda zako kwa amani.