Luke 9:4 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nyumba yoyote mtakayoingia na kukaribishwa, kaeni humo mpaka mtakapoondoka katika kijiji hicho.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Katika nyumba yoyote mwingiayo, kaeni humo hadi mtakapoondoka katika mji huo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na nyumba yo yote mtakayoingia kaeni humo, mpaka mtoke mjini.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mkiingia katika nyumba; kaeni katika nyumba hiyo mpaka mtakapokuwa mnatoka katika mji huo.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Nyumba yoyote mtakayoingia na kukaribishwa, kaeni humo mpaka mtakapoondoka katika kijiji hicho.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nyumba yoyote mtakayoingia na kukaribishwa, kaeni humo mpaka mtakapoondoka katika kijiji hicho.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Katika nyumba yo yote mwingiayo, kaeni humo hadi mtakapoondoka katika mji huo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Katika nyumba yoyote mwingiayo, kaeni humo hadi mtakapoondoka katika mji huo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na nyumba yoyote mtakayoingia kaeni humo, mpaka mtoke mjini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nyumba yoyote mtakayoingia na kukaribishwa, kaeni humo mpaka mtakapoondoka katika kijiji hicho.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nyumbani mo mote mtakamoingia, kaeni humo! Namo ndimo, mtakamotoka tena!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na nyumba yo yote mtakayoingia kaeni humo, mpaka mtoke mjini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na nafasi yoyote watakapowakaribisha ndani ya nyumba mubakie mule mpaka mutakapotoka kule.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na nyumba yo yote mtakayoingia, kaeni humo, katokeni humo.