Luke 9:40 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Niliwaomba wanafunzi wako wamfukuze, lakini hawakuweza.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Niliwaomba wanafunzi wako wamtoe huyo pepo mchafu, lakini hawakuweza.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nikawasihi wanafunzi wako wamtoe, wasiweze.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Niliwaomba wanafunzi wako wamtoe pepo huyu mchafu lakini wameshindwa.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Niliwaomba wanafunzi wako wamfukuze, lakini hawakuweza.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Niliwaomba wanafunzi wako wamfukuze, lakini hawakuweza.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Niliwaomba wanafunzi wako wamtoe huyo pepo mchafu, lakini hawakuweza.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Niliwaomba wanafunzi wako wamtoe huyo pepo mchafu, lakini hawakuweza.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nikawasihi wanafunzi wako wamtoe, wasiweze.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Niliwaomba wanafunzi wako wamfukuze, lakini hawakuweza.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nikawaomba wanafunzi wako, wamfukuze, lakini hawakuweza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nikawasihi wanafunzi wako wamtoe, wasiweze.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Niliwasihi wanafunzi wako wamufukuze, lakini hawakuweza.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Nikawaomba wanafunzi wako wamfukuze, wasiweze.