Luke 9:46 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kukatokea majadiliano kati ya wale wanafunzi kuhusu nani kati yao aliyekuwa mkuu zaidi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kukazuka mabishano miongoni mwa wanafunzi kuhusu ni nani miongoni mwao atakayekuwa mkuu kuliko wote.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakaanza kuhojiana, ni nani atakayekuwa mkubwa miongoni mwao.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wafuasi wa Yesu walianza kubishana wakiulizana nani ni mkuu kuliko wote miongoni mwao.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kukatokea majadiliano kati ya wale wanafunzi kuhusu nani kati yao aliyekuwa mkuu zaidi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kukatokea majadiliano kati ya wale wanafunzi kuhusu nani kati yao aliyekuwa mkuu zaidi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kukazuka mabishano miongoni mwa wanafunzi kuhusu ni nani miongoni mwao atakayekuwa mkuu kuliko wote.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kukazuka mabishano miongoni mwa wanafunzi kuhusu ni nani miongoni mwao atakayekuwa mkuu kuliko wote.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakaanza kuhojiana, ni nani atakayekuwa mkubwa miongoni mwao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kukatokea majadiliano kati ya wale wanafunzi kuhusu nani kati yao aliyekuwa mkuu zaidi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wakawa wakiwaza mioyoni mwao kwamba: Aliye mkuu kwetu ni nani?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakaanza kuhojiana, ni nani atakayekuwa mkubwa miongoni mwao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wanafunzi waliingiwa na wazo la kutafuta kujua nani anayekuwa mukubwa kati yao.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yakawaingia mabishano, ni nani atakaekuwa mkubwa miongoni mwao.