Luke 9:55 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini yeye akawageukia, akawakemea.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akageuka na kuwakemea.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawageukia, akawakanya. [Akasema, Hamjui ni roho ya namna gani mliyo nayo.]
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini Yesu aligeuka na akawakemea baada ya wao kusema hivi.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini yeye akawageukia, akawakemea akasema, “Hamjui ni roho ya namna gani mliyo nayo;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini yeye akawageukia, akawakemea.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akageuka na kuwakemea,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akageuka na kuwakemea,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawageukia, akawakanya. [Akasema, Hamjui ni roho ya namna gani mliyo nayo.]
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini yeye akawageukia, akawakemea.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini akapinduka, akawatisha akiwaambia: Hamjui, kama m wenye Roho gani?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawageukia, akawakanya. [Akasema, Hamjui ni roho ya namna gani mliyo nayo.]
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini Yesu akawageukia na kuwakaripia.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akageuka, akawakaripia, akasema, Hamjui ni moyo wa namna gani mlio nao.