Luke 9:56 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakatoka, wakaenda kijiji kingine.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Naye Isa na wanafunzi wake wakaenda kijiji kingine.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana Mwana wa Adamu hakuja kuziangamiza roho za watu, bali kuziokoa. Wakaondoka wakaenda mpaka kijiji kingine.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kisha Yesu na wanafunzi wake wakaondoka wakaenda katika mji mwingine.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
kwa maana Mwana wa Mtu hakuja kuyaangamiza maisha ya watu, bali kuyaokoa.” Wakatoka, wakaenda kijiji kingine.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakatoka, wakaenda kijiji kingine.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
nao wakaenda kijiji kingine.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
nao wakaenda kijiji kingine.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana Mwana wa Adamu hakuja kuziangamiza roho za watu, bali kuziokoa. Wakaondoka wakaenda mpaka kijiji kingine.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakatoka, wakaenda kijiji kingine.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwana wa mtu hakujia kuangamiza roho za watu, ila kuziokoa. Kisha wakaenda zao, wakafikia kijiji kingine.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana Mwana wa Adamu hakuja kuziangamiza roho za watu, bali kuziokoa. Wakaondoka wakaenda mpaka kijiji kingine.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha wakaondoka kwenda katika kijiji kingine.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana Mwana wa Adamu hakuja kuziangamiza roho za wana Adamu, bali kuziokoa. Wakaenda zao hatta mji mwingine.