Mark 1:15 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia. Tubuni na kuiamini Habari Njema!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
akisema, “Wakati umetimia, ufalme wa Mungu umekaribia. Tubuni na kuiamini Injili.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
akisema, Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Akasema, “Wakati umefika. Ufalme wa Mungu umewafikia. Mbadili mioyo yenu na maisha yenu, na kuiamini habari njema!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Wakati umetimia, na Ufalme wa Mungu umekaribia. Tubuni na kuiamini Habari Njema!”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia. Tubuni na kuiamini Habari Njema!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
akisema, “Wakati umewadia, Ufalme wa Mungu umekaribia. Tubuni na kuiamini Habari Njema.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
akisema, “Wakati umewadia, Ufalme wa Mwenyezi Mungu umekaribia. Tubuni na kuiamini Habari Njema.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
akisema, Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia. Tubuni na kuiamini Habari Njema!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
akasema: Siku zimetimia, nao ufalme wa Mungu umekaribia. Juteni, mwutegemee Utume mwema!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
akisema, Wakati umetimia, na ufalme wa Mungu umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Alisema: “Wakati umetimia, na Ufalme wa Mungu ni karibu! Mugeuke toka zambi zenu na kukubali Habari Njema!”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
akineua, Wakati umetimia, na ufalme wa Muugu umekaribia; tubuni, kaiaminim injili.