Mark 1:8 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mimi ninawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mimi nawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho wa Mungu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mimi niliwabatiza kwa maji; bali yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mimi nawabatiza katika maji, lakini yeye huyo atawabatiza katika Roho Mtakatifu.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mimi ninawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mimi ninawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mimi nawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mimi nawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho wa Mwenyezi Mungu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mimi niliwabatiza kwa maji; bali yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mimi ninawabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mimi nimewabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho takatifu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mimi niliwabatiza kwa maji; bali yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mimi nimewabatiza kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa Roho Mutakatifu.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Mimi naliwabatizeni kwa maji; bali yeye atawabalizeni kwa Roho Mtakatifu.