Mark 10:12 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na mwanamke anayemwacha mumewe na kuolewa na mwingine anazini.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Naye mwanamke amwachaye mumewe na kuolewa na mume mwingine, anazini.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na mke, akimwacha mumewe na kuolewa na mtu mwingine, azini.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Na ikiwa mke atamtaliki mumewe na kuolewa na mume mwingine, basi naye anafanya zinaa.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Na mwanamke anayemwacha mumewe na kuolewa na mwingine anazini.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na mwanamke anayemwacha mumewe na kuolewa na mwingine anazini.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Naye mwanamke anayemwacha mumewe na kuolewa na mume mwingine, anazini.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Naye mwanamke amwachaye mumewe na kuolewa na mume mwingine, anazini.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na mke, akimwacha mumewe na kuolewa na mtu mwingine, azini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na mwanamke anayemwacha mumewe na kuolewa na mwingine anazini.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye mke akimwacha mumewe na kuolewa na mwingine anazini.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na mke, akimwacha mumewe na kuolewa na mtu mwingine, azini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Vile vile, kila muke anayemwacha mume wake na kuolewa na mwingine, anazini.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
na mke, akimwacha mume wake na kuolewa na mtu mwingine, azini.