Mark 10:20 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Naye akamjibu, “Mwalimu, hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akamjibu, “Mwalimu, amri hizi zote nimezishika tangu nikiwa mtoto.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akamwambia, Mwalimu, haya yote nimeyashika tangu utoto wangu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Naye akamwambia Yesu, “Mwalimu, nimeyatii hayo tangu ujana wangu.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Naye akamjibu, “Mwalimu, hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Naye akamjibu, “Mwalimu, hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akamjibu, “Mwalimu, amri hizi zote nimezishika tangu nikiwa mtoto.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akamjibu, “Mwalimu, amri hizi zote nimezishika tangu nikiwa mtoto.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akamwambia, Mwalimu, haya yote nimeyashika tangu utoto wangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Naye akamjibu, “Mwalimu, hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye akamwambia: Mfunzi, hayo yote nimeyashika, tangu nilipokuwa kijana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akamwambia, Mwalimu, haya yote nimeyashika tangu utoto wangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yule mutu akamujibu: “Mwalimu, nimetii amri zile zote tangu ujana wangu.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akamwambia, Mwalimu, haya yote nimeyashika tangu ujana wangu.