Mark 10:36 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Naye akawaambia, “Je, mwataka niwafanyie jambo gani?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawaambia, Mwataka niwafanyie nini?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akawaambia, “Ni kitu gani mnachotaka niwafanyie?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Naye akawaambia, “Je, mwataka niwafanyie jambo gani?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Naye akawaambia, “Je, mwataka niwafanyie jambo gani?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawaambia, Mwataka niwafanyie nini?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Alipowauliza: Mwataka, niwafanyie nini?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawaambia, Mwataka niwafanyie nini?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akawauliza: “Munataka niwafanyie nini?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akawaambia, Mwalaka niwafanyie nini?