Mark 10:4 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nao wakasema, “Mose aliagiza mume kumpatia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakajibu, “Musa aliruhusu kwamba mume anaweza kumwandikia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakasema, Musa alitoa ruhusa kuandika hati ya talaka na kumwacha.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wakasema, “Musa alimpa ruhusa mume kuandika hati ya kutangua ndoa na kisha kumtaliki mke wake.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Nao wakasema, “Mose aliagiza mume kumpatia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nao wakasema, “Mose aliagiza mume kumpatia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakajibu, “Mose aliruhusu kwamba mume anaweza kumwandikia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakajibu, “Musa aliruhusu kwamba mume anaweza kumwandikia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakasema, Musa alitoa ruhusa kuandika hati ya talaka na kumwacha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nao wakasema, “Mose aliagiza mume kumpatia mkewe hati ya talaka na kumwacha.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wakasema: Mose alitupa ruhusa kuandika cheti cha kuachana, kisha kumwacha.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakasema, Musa alitoa ruhusa kuandika hati ya talaka na kumwacha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nao wakamujibu: “Musa alitoa ruhusa kwa mutu kuandika barua ya kuachana na muke wake na kisha amufukuze.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakasema, Musa alitoa rukhusa kuandika khati ya talaka na kumwacha.