Mark 10:9 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asitenganishe.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi, alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kwa hiyo, mtu yeyote asitenganishe kile ambacho Mungu amekiunganisha pamoja.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asitenganishe.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asitenganishe.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi, alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi, alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asitenganishe.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo sio wawili tena, ila wamekuwa mwili mmoja tu. Basi, Mungu alichokiunga, mtu asikiungue!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi mutu asitenganishe kile Mungu alichokiunganisha.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi alivyoviunganisha Mungu, mwana Adamu asivitenganishe.