Mark 11:10 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ubarikiwe ufalme ujao wa baba yetu Daudi. Sifa kwa Mungu juu mbinguni!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Umebarikiwa ufalme unaokuja wa baba yetu Daudi!” “Hosana kwake yeye aliye juu!”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
umebarikiwa na ufalme ujao, wa baba yetu Daudi. Hosana juu mbinguni.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mungu aubariki ufalme unaokuja, ufalme wa Daudi baba yetu! Msifuni Mungu juu mbinguni!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ubarikiwe Ufalme ujao wa baba yetu Daudi. Hosana juu mbinguni!”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ubarikiwe ufalme ujao wa baba yetu Daudi. Sifa kwa Mungu juu mbinguni!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Umebarikiwa Ufalme unaokuja wa baba yetu Daudi!” “Hosana kwake yeye aliye juu!”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Umebarikiwa Ufalme unaokuja wa baba yetu Daudi!” “Hosana kwake yeye aliye juu!”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
umebarikiwa na ufalme ujao, wa baba yetu Daudi. Hosana juu mbinguni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ubarikiwe ufalme ujao wa baba yetu Daudi. Sifa kwa Mungu juu mbinguni!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Na atukuzwe ajaye kwa jina la Bwana! Utukuzwe ufalme wa baba yetu Dawidi utujiao! Hosiana juu mbinguni!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
umebarikiwa na ufalme ujao, wa baba yetu Daudi. Hosana juu mbinguni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ubarikiwe ufalme unaokuja, ndio ufalme wa babu yetu Daudi! Mungu asifiwe juu mbinguni!”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
umebarikiwa ufalme ujao kwa jina la Bwana, ufalme wa baba yetu Daud. Utuokoe sasa, wewe uliye juu.