Mark 11:19 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ilipokuwa jioni, Yesu na wanafunzi wake waliondoka mjini.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ilipofika jioni, Isa na wanafunzi wake wakatoka nje ya mji.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na kulipokuwa jioni alitoka mjini.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ilipofika jioni, Yesu na wanafunzi wake waliondoka Yerusalemu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ilipokuwa jioni, Yesu na wanafunzi wake waliondoka mjini.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ilipokuwa jioni, Yesu na wanafunzi wake waliondoka mjini.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ilipofika jioni, Yesu na wanafunzi wake wakatoka nje ya mji.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ilipofika jioni, Isa na wanafunzi wake wakatoka nje ya mji.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na kulipokuwa jioni alitoka mjini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ilipokuwa jioni, Yesu na wanafunzi wake waliondoka mjini.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini kila siku ilipokuwa jioni, wakatoka mjini.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na kulipokuwa jioni alitoka mjini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ilipokuwa magaribi, Yesu na wanafunzi wake wakatoka katika muji ule.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na ilipokuwa jioni alitoka mjini.