Mark 12:31 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na ya pili ndiyo hii: ‘Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’ Hakuna amri nyingine iliyo kubwa zaidi kuliko hizi.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ya pili ndiyo hii: ‘Mpende jirani yako kama nafsi yako.’ Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na ya pili ndiyo hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako. Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Amri ya pili ni hii: ‘mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’ Hakuna amri nyingine kubwa kuliko hizi.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Na ya pili ndiyo hii: Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe. Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na ya pili ndiyo hii: ‘Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’ Hakuna amri nyingine iliyo kubwa zaidi kuliko hizi.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ya pili ndiyo hii: ‘Mpende jirani yako kama nafsi yako.’ Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ya pili ndiyo hii: ‘Mpende jirani yako kama nafsi yako.’ Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na ya pili ndiyo hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako. Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na ya pili ndiyo hii: ‘Mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’ Hakuna amri nyingine iliyo kubwa zaidi kuliko hizi.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
La pili ndilo hili: Umpende mwenzio, kama unavyojipenda mwenyewe! Agizo jingine lililo kubwa kuliko haya haliko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na ya pili ndiyo hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako. Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na amri ya pili ni hii: ‘Umupende mwenzako kama vile unavyojipenda mwenyewe.’ Hakuna amri zingine kubwa kupita hizi.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na ya pili yafanana na bayo, ndiyo hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako. Hapana nyingine iliyo kuu kuliko hizi.