Mark 12:8 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa hiyo wakamkamata, wakamuua na kumtupa nje ya lile shamba la mizabibu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hivyo wakamchukua na kumuua, wakamtupa nje ya lile shamba la mizabibu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakamkamata, wakamwua, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kwa hiyo wakamchukua na kumuua, kisha wakautupa mwili wake nje ya shamba la mizabibu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kwa hiyo wakamkamata, wakamuua na kumtupa nje ya lile shamba la mizabibu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa hiyo wakamkamata, wakamuua na kumtupa nje ya lile shamba la mizabibu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hivyo wakamkamata, wakamwua na kumtupa nje ya lile shamba la mizabibu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hivyo wakamchukua na kumuua, wakamtupa nje ya lile shamba la mizabibu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakamkamata, wakamwua, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa hiyo wakamkamata, wakamuua na kumtupa nje ya lile shamba la mizabibu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo wakamkamata, wakamwua, wakamtupa nje ya mizabibu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakamkamata, wakamwua, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi wakamukamata yule mwana, wakamwua na kutupa maiti yake inje ya shamba.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakamkamata, wakamwua, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu.