Mark 13:33 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Muwe waangalifu na kesheni, maana hamjui wakati huo utafika lini.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Jihadharini! Kesheni! Kwa maana hamjui wakati ule utakapowadia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Angalieni, kesheni, [ombeni], kwa kuwa hamjui wakati ule utakapokuwapo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mjihadhari; Kesheni! Kwani hamjui lini muda huo utafika.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Muwe waangalifu na kesheni, maana hamjui wakati huo utafika lini.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Muwe waangalifu na kesheni, maana hamjui wakati huo utafika lini.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Jihadharini! Kesheni! Kwa maana hamjui wakati ule utakapowadia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Jihadharini! Kesheni! Kwa maana hamjui wakati ule utakapowadia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Angalieni, kesheni, [ombeni], kwa kuwa hamjui wakati ule utakapokuwapo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Muwe waangalifu na kesheni, maana hamjui wakati huo utafika lini.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Angalieni! Kesheni! Kwani hamjui, siku zake zitakapokuwapo. Vinafanana na mtu mwenye kufunga safari aliyeiacha nyumba yake, akawapa watumishi wake nguvu akimgawia kila mtu kazi yake, naye mlinda mlango akamwagiza, akeshe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Angalieni, kesheni, [ombeni], kwa kuwa hamjui wakati ule utakapokuwapo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mujiangalie, mukeshe, kwa maana hamujui saa wakati ule utakapotimia.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Angalieni, kesheni, ombeni, kwa kuwa hamjui wakati ule utakapokuwa.