Mark 13:5 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akaanza kuwaambia, “Jihadharini msije mkadanganywa na mtu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akawaambia: “Jihadharini mtu yeyote asiwadanganye.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu akaanza kuwaambia, Jihadharini, mtu asiwadanganye.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akaanza kuwaeleza, “Muwe waangalifu mtu asije akawadanganya.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akaanza kuwaambia, “Jihadharini msije mkadanganywa na mtu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akaanza kuwaambia, “Jihadharini msije mkadanganywa na mtu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akawaambia: “Jihadharini mtu ye yote asiwadanganye.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akawaambia: “Jihadharini mtu yeyote asiwadanganye.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu akaanza kuwaambia, Jihadharini, mtu asiwadanganye.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akaanza kuwaambia, “Jihadharini msije mkadanganywa na mtu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu akaanza kuwaambia: Angalieni, mtu asiwapoteze!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu akaanza kuwaambia, Jihadharini, mtu asiwadanganye.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi Yesu akaanza kuwaambia: “Muangalie vizuri mutu asiwadanganye.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akajibu, akaanza kuwaambia, Jihadharini, mtu asiwadanganye; kwa maana wengi watakuja kwa jina langu, wakinena,